Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 23:14

1 Samweli 23:14 NENO

Daudi akakaa katika ngome za jangwani na katika vilima vya Jangwa la Zifu. Siku baada ya siku Sauli aliendelea kumsaka, lakini Mungu hakumtia Daudi mkononi mwake.