Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 2:30

1 Samweli 2:30 NEN

“Kwa hiyo, BWANA, Mungu wa Israeli, asema: ‘Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ya baba yako wangehudumu mbele zangu milele.’ Lakini sasa BWANA anasema: ‘Jambo hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi watadharauliwa.