1 Samweli 15:30-31
1 Samweli 15:30-31 NENO
Sauli akajibu, “Nimetenda dhambi. Lakini tafadhali niheshimu mbele ya wazee wa watu wangu na mbele ya Israeli; rudi pamoja nami, ili nipate kumwabudu BWANA Mungu wako.” Hivyo Samweli akarudi pamoja na Sauli, naye Sauli akamwabudu BWANA.

