Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 19:10

1 Wafalme 19:10 NENO

Akajibu, “Nimekuwa nikifanya bidii sana kwa ajili ya BWANA Mungu wa majeshi. Waisraeli wamelikataa agano lako, wamevunja madhabahu zako na kuwaua manabii wako kwa upanga. Ni mimi peke yangu niliyebaki, sasa wananitafuta ili waniue pia.”