Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 18:27

1 Wafalme 18:27 NENO

Wakati wa adhuhuri, Eliya akaanza kuwadhihaki, akisema, “Pigeni kelele zaidi! Hakika yeye ni mungu! Labda amezama katika mawazo mazito, au ana shughuli nyingi, au amesafiri. Labda amelala usingizi mzito, naye ni lazima aamshwe.”