1
Waroma 13:14
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Ila jivikeni Bwana Yesu Kristo! Itunzeni miili yenu na kuiangalia, isishindwe na tamaa!*
Linganisha
Chunguza Waroma 13:14
2
Waroma 13:8
Msiwe wadeni wa mtu ye yote, isipokuwa wa kupendana! Kwani anayempenda mwenziwe ameyatimiza Maonyo.
Chunguza Waroma 13:8
3
Waroma 13:1
*Kila mtu na autii ukuu! Maana uko na nguvu kumpita yeye. Kwani hakuna ukuu usiotoka kwa Mungu; nao wote ulioko umewekwa na Mungu.
Chunguza Waroma 13:1
4
Waroma 13:12
Usiku umefikia kucha, mchana upambazuke: kwa hiyo tuziache kazi za giza, tujivike mata ya mwanga!
Chunguza Waroma 13:12
5
Waroma 13:10
Ukimpenda mwenzio huwezi kumfanyia kiovu. Kwa hiyo kupendana ndiko kuyatimiza Maonyo.*
Chunguza Waroma 13:10
6
Waroma 13:7
Basi, walipeni wote yawapasayo: Mtoza kodi mpeni kodi yake! Mwenye kuchanga mpeni chango lake! Mwenye kuogopesha mwogopeni! Mwenye kuheshimiwa mheshimuni!
Chunguza Waroma 13:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video