1
Mateo 3:8
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Tendeni mazao yaliyo ya kujuta kweli!
Linganisha
Chunguza Mateo 3:8
2
Mateo 3:17
Mara sauti ikatoka mbinguni ikasema: Huyu ndiye mwanangu mpendwa, ambaye nimependezwa naye.*
Chunguza Mateo 3:17
3
Mateo 3:16
Yesu alipokwisha batizwa, papo hapo, alipotoka majini, mbingu zikafunuka, akaona, Roho ya Mungu anavyoshuka kama njiwa na kumjia yeye.
Chunguza Mateo 3:16
4
Mateo 3:11
Mimi nawabatiza katika maji, mpate kujuta. Lakini yeye anayekuja nyuma yangu ana nguvu kunipita mimi, nami sifai kumchukulia viatu vyake. Yeye atawabatiza katika Roho takatifu na katika moto.*
Chunguza Mateo 3:11
5
Mateo 3:10
Miti imekwisha wekewa mashoka mashinani, kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa, utupwe motoni.
Chunguza Mateo 3:10
6
Mateo 3:3
Kwani huyo ndiye, aliyemtaja mfumbuaji Yesaya aliposema: Iko sauti ya mtu apigaye mbiu nyikani: Itengenezeni njia ya Bwana! Yanyosheni mapito yake!
Chunguza Mateo 3:3
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video