Nitakuokoa kwao walio wa kwenu nako kwao wamizimu, maana ndiko, nitakakokutuma, uwafumbue macho yao na kuwaongoza, watoke gizani, waingie mwangani, tena watoke katika nguvu ya Satani, wamfikie Mungu; hivyo watapata kuondolewa makosa na kupewa fungu lao penye watakatifu, wakiwa wakinitegemea.