1
Warumi 4:20-21
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Wala hakuionea shaka ahadi ya Mungu kwa kutokuamini, bali alitiwa nguvu kwa imani yake, akimtukuza Mungu, akijua hakika ya kuwa Mungu aweza kufanya yale aliyoahidi.
Linganisha
Chunguza Warumi 4:20-21
2
Warumi 4:17
(kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba wa mataifa mengi) mbele zake aliyemwamini, yaani Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, avitajae vitu visivyokuwa kana kwamba vimekuwa.
Chunguza Warumi 4:17
3
Warumi 4:25
aliyetolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa illi tupate kupewa haki.
Chunguza Warumi 4:25
4
Warumi 4:18
Ambae aliamini kwa kutazamia yasiyoweza kutazamiwa, kuwa baba wa mataifa mengi, kama ilivyonenwa, Ndivyo utakavyokuwa nzao wako.
Chunguza Warumi 4:18
5
Warumi 4:16
Kwa hiyo ilitoka kwa imani, iwe kwa njia ya neema, illi ile ahadi iwe imara kwa wazao wote, si kwa wale wa torati tu, illa na kwa wale wa imani ya Ibrahimu aliye baba yetu sisi sote
Chunguza Warumi 4:16
6
Warumi 4:7-8
Wa kheri waliosamehewa maasi yao, Na waliosetiriwa dhambi zao. Yu kheri mtu yule ambae Bwana hamhesabii dhambi.
Chunguza Warumi 4:7-8
7
Warumi 4:3
Maana maandiko yasemaje? Ibrabimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.
Chunguza Warumi 4:3
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video