1
Marko 7:21-23
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Maana kutoka ndani, moyoni mwa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”
Linganisha
Chunguza Marko 7:21-23
2
Marko 7:15
Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu kutoka nje kinachoweza kumtia mtu unajisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu unajisi.”
Chunguza Marko 7:15
3
Marko 7:6
Yesu akawajibu, “Wanafiki nyinyi! Nabii Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu alipoandika: ‘Mungu asema: Watu hawa, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao, wako mbali nami.
Chunguza Marko 7:6
4
Marko 7:7
Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’
Chunguza Marko 7:7
5
Marko 7:8
Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
Chunguza Marko 7:8
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video