Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 7:21-23

Marko 7:21-23 SCLDC10

Maana kutoka ndani, moyoni mwa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Soma Marko 7

Video zinazohusiana