1
Gal 3:13
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Linganisha
Chunguza Gal 3:13
2
Gal 3:28
Hivyo, hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Nyote ni kitu kimoja kwa kuungana na Kristo Yesu.
Chunguza Gal 3:28
3
Gal 3:29
Ikiwa nyinyi ni wa Kristo, basi ni wazawa wa Abrahamu, na mtapokea yale aliyoahidi Mungu.
Chunguza Gal 3:29
4
Gal 3:14
Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia.
Chunguza Gal 3:14
5
Gal 3:11
Ni dhahiri kwamba sheria haiwezi kumfanya mtu kuwa mwadilifu; maana Maandiko yasema: “Mwadilifu kwa imani ataishi.”
Chunguza Gal 3:11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video