1
2 Sam 5:4
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Daudi alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza kutawala, na alitawala kwa muda wa miaka arubaini.
Linganisha
Chunguza 2 Sam 5:4
2
2 Sam 5:19
Basi, Daudi alimwuliza Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia Daudi, “Nenda, maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”
Chunguza 2 Sam 5:19
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video