Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Sam 5:19

2 Sam 5:19 SCLDC10

Basi, Daudi alimwuliza Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia Daudi, “Nenda, maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”

Soma 2 Sam 5