1
1 Sam 30:6
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Sasa, Daudi alikuwa katika matatizo makubwa kwa kuwa watu wake walikuwa na uchungu rohoni mwao kwa kupoteza watoto wao; hivyo wakawa wanamtishia kumpiga mawe. Lakini Daudi alijipa moyo kwa kumtegemea Mwenyezi-Mungu, Mungu wake.
Linganisha
Chunguza 1 Sam 30:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video