Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 30:6

1 Sam 30:6 SCLDC10

Sasa, Daudi alikuwa katika matatizo makubwa kwa kuwa watu wake walikuwa na uchungu rohoni mwao kwa kupoteza watoto wao; hivyo wakawa wanamtishia kumpiga mawe. Lakini Daudi alijipa moyo kwa kumtegemea Mwenyezi-Mungu, Mungu wake.

Soma 1 Sam 30