1
1 Sam 21:12-13
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Hivyo, akabadilisha tabia yake, akijifanya mwendawazimu, akawa anakwaruzakwaruza kwenye malango ya mji, na mate yake akayaacha yatiririke kwenye ndevu zake.
Linganisha
Chunguza 1 Sam 21:12-13
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video