1
1 Fal 14:8
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
nikaurarua ufalme utoke kwa wazawa wa Daudi, nikakupa wewe. Lakini wewe ni kinyume kabisa cha mtumishi wangu Daudi ambaye alizishika amri zangu, akafuata matakwa yangu kwa moyo wake wote na kutenda tu yaliyo sawa mbele ya macho yangu.
Linganisha
Chunguza 1 Fal 14:8
2
1 Fal 14:9
Wewe umetenda uovu mbaya zaidi kuliko waliotenda wale waliokutangulia; wewe umenikasirisha kwa kujitengenezea miungu mingine na sanamu za kufua, kisha umeniacha.
Chunguza 1 Fal 14:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video