1
Warumi 9:16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Hivyo Mungu atamchagua yeyote anayeamua kumpa rehema pasipo kujali watu wanataka nini ama kwa jinsi gani wanapiga mbio.
Linganisha
Chunguza Warumi 9:16
2
Warumi 9:15
Mungu alimwambia Musa, “Nitampa rehema yeyote ninayetaka kumpa rehema. Nitamhurumia yeyote ninayemchagua.”
Chunguza Warumi 9:15
3
Warumi 9:20
Hilo si la kuuliza. Wewe ni mwanadamu tu na huna haki ya kumhoji Mungu. Chungu hakiwezi kumhoji aliyekifinyanga. Hakiwezi kusema, “Kwa nini ulinifinyanga hivi?”
Chunguza Warumi 9:20
4
Warumi 9:18
Hivyo Mungu huwarehemu wale anaotaka kuwarehemu na huwafanya jeuri wale anaotaka wawe jeuri.
Chunguza Warumi 9:18
5
Warumi 9:21
Yeye aliyefinyanga chungu anaweza kufinyanga kitu chochote anachotaka. Anautumia udongo ule ule wa mfinyanzi kufinyanga vitu mbalimbali. Anaweza kufinyanga kitu kimoja kwa makusudi maalumu na kingine kwa matumizi ya kila siku.
Chunguza Warumi 9:21