1
Warumi 7:25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Namshukuru Mungu kwa wokovu wake kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu! Hivyo katika ufahamu wangu mimi ni mtumwa wa sheria ya Mungu, lakini katika udhaifu wangu wa kibinadamu mimi ni mtumwa wa sheria ya dhambi.
Linganisha
Chunguza Warumi 7:25
2
Warumi 7:18
Ndiyo, ninajua kuwa hakuna kitu chema kinachoishi ndani yangu, nina maana kuwa hakuna kitu chema kinachoishi ndani yangu kisichokuwa cha rohoni.
Chunguza Warumi 7:18
3
Warumi 7:19
Sitendi mema ninayotaka nitende. Ninatenda maovu nisiyotaka kutenda.
Chunguza Warumi 7:19
4
Warumi 7:20
Hivyo ikiwa ninatenda yale nisiyotaka kutenda, hakika si mimi ninayeyatenda hayo. Bali dhambi inayoishi ndani yangu ndiyo inayotenda.
Chunguza Warumi 7:20
5
Warumi 7:21-22
Hivyo nimejifunza hivi kuhusu sheria: Ninapotaka kutenda mema ambayo sheria inaamrisha, uovu unakuwa hapo hapo pamoja nami. Moyoni mwangu nafurahi kuifuata sheria ya Mungu.
Chunguza Warumi 7:21-22
6
Warumi 7:16
Na ikiwa ninatenda kile nisichotaka kutenda, inamaanisha kuwa ninakubali kuwa sheria ni njema.
Chunguza Warumi 7:16