1
Zaburi 116:1-2
Swahili Revised Union Version
SRUV
Haleluya. Nampenda BWANA kwa kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu. Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.
Linganisha
Chunguza Zaburi 116:1-2
2
Zaburi 116:5
BWANA ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.
Chunguza Zaburi 116:5
3
Zaburi 116:15
Kifo cha waaminifu wa Mungu, kina thamani machoni pa BWANA.
Chunguza Zaburi 116:15
4
Zaburi 116:8-9
Maana umeniponya nafsi yangu na mauti, Macho yangu na machozi, Na miguu yangu na kuanguka. Nitaenenda mbele za BWANA Katika nchi za walio hai.
Chunguza Zaburi 116:8-9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video