1
Mathayo 27:46
Swahili Revised Union Version
SRUVDC
Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Linganisha
Chunguza Mathayo 27:46
2
Mathayo 27:51-52
Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hadi chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka; makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala
Chunguza Mathayo 27:51-52
3
Mathayo 27:50
Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.
Chunguza Mathayo 27:50
4
Mathayo 27:54
Basi yule afisa, na hao waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoliona tetemeko la ardhi na mambo yaliyofanyika, wakaogopa sana, wakisema, Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Chunguza Mathayo 27:54
5
Mathayo 27:45
Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hadi saa tisa.
Chunguza Mathayo 27:45
6
Mathayo 27:22-23
Pilato akawaambia, Basi, nimtendeje Yesu aitwaye Kristo? Wakasema wote, Asulubiwe. Akasema, Kwa nini? Ni ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, wakisema, Na asulubiwe.
Chunguza Mathayo 27:22-23
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video