Mathayo 27:22-23
Mathayo 27:22-23 Biblia Habari Njema (BHN)
Pilato akawauliza, “Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?” Wote wakasema, “Asulubiwe!” Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!”
Shirikisha
Soma Mathayo 27Mathayo 27:22-23 Biblia Habari Njema (BHN)
Pilato akawauliza, “Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?” Wote wakasema, “Asulubiwe!” Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!”
Shirikisha
Soma Mathayo 27Mathayo 27:22-23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Pilato akawaambia, Basi, nimtendeje Yesu aitwaye Kristo? Wakasema wote, Asulubiwe. Akasema, Kwa nini? Ni ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, wakisema, Na asulubiwe.
Shirikisha
Soma Mathayo 27