1
Mwanzo 15:6
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Abramu akamwamini BWANA, naye kwake jambo hili likahesabiwa kuwa haki.
Linganisha
Chunguza Mwanzo 15:6
2
Mwanzo 15:1
Baada ya jambo hili, neno la BWANA likamjia Abramu katika maono, akaambiwa: “Usiogope, Abramu. Mimi ni ngao yako, na thawabu yako kubwa sana.”
Chunguza Mwanzo 15:1
3
Mwanzo 15:5
Akamtoa nje na kusema, “Tazama juu mbinguni na uhesabu nyota, kama hakika utaweza kuzihesabu.” Ndipo akamwambia, “Hivyo ndivyo uzao wako utakavyokuwa.”
Chunguza Mwanzo 15:5
4
Mwanzo 15:4
Ndipo neno la BWANA lilipomjia, likanena: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.”
Chunguza Mwanzo 15:4
5
Mwanzo 15:13
Kisha BWANA akamwambia, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni katika nchi isiyo yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.
Chunguza Mwanzo 15:13
6
Mwanzo 15:2
Lakini Abramu akasema, “Ee BWANA Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina mtoto, na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri Mdameski?”
Chunguza Mwanzo 15:2
7
Mwanzo 15:18
Siku hiyo BWANA akafanya agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri hadi mto ule mkubwa, Frati
Chunguza Mwanzo 15:18
8
Mwanzo 15:16
Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana uovu wa Waamori bado haujafikia kipimo.”
Chunguza Mwanzo 15:16
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video