Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Pavyzdys

Yesu amwita Matayo
Yesu alipokuwa akienda kutoka huko, alimwona mtu mmoja jina lake Mathayo akiwa ameketi forodhani mahali pa kutoza ushuru.
“Nifuate.” Yesu akamwambia, Mathayo akaondoka, akamfuata.
"Wakati Yesu alipokuwa ameketi chakulani ndani ya nyumba, watoza ushuru wengi na wenye dhambi wakaja kula pamoja naye na wanafunzi wake.
Mafarisayo walipoona mambo haya, wakawauliza wanafunzi wake, “Kwa nini Mwalimu wenu anakula na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
Lakini Yesu aliposikia hayo, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu. Nendeni mkajifunze maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
Šventasis Raštas
Apie šį planą

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Susiję planai

Kelkis ir nušvisk

Džiaugsmas kelionėje: Atrandant viltį išmėginimų sūkuryje

Paveskite savo rūpesčius

Sėklos: Kokios ir kodėl

Himnas: Malonė tavo istorijoje

Kelionė Luko evangelija ir Apaštalų darbais

Mylėkite ir nenustokite mylėję

Meilė ir santuoka, autorius Billy Graham

Koks mano tikslas? Mokomės mylėti Dievą ir kitus žmones
