Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Pavyzdys

Yesu amponya mtu mwenye ukoma
Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji fulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamjia.
Alipomwona Yesu, alianguka chini mpaka uso wake ukagusa ardhi na kumsihi akisema
"“Bwana, ukitaka waweza kunitakasa.”
"Yesu akanyosha mkono wake akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka, takasika!”
"Naye mara ukoma ukapona. Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie mtu ye yote, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe dhabihu alizoagiza Mose ili kuwa ushuhuda kwao.”
Lakini habari zake Yesu zikazidi sana kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wo wote, makutano makubwa ya watu yalikuwa yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
Lakini mara kwa mara Yesu alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba
Šventasis Raštas
Apie šį planą

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Susiję planai

Džiaugsmas kelionėje: Atrandant viltį išmėginimų sūkuryje

Meilė ir santuoka, autorius Billy Graham

Sėklos: Kokios ir kodėl

Išrinkta – atskleidžiant moterį Kristuje

Koks mano tikslas? Mokomės mylėti Dievą ir kitus žmones

Paveskite savo rūpesčius

Himnas: Malonė tavo istorijoje

Mylėkite ir nenustokite mylėję

Kelionė Luko evangelija ir Apaštalų darbais
