INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TISAՕրինակ

YESU AWAPONYA WENYE UKOMA KUMI
11 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.
"12 Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali,
13 wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.
15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
"Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
17 Yesu akauliza, “Je, hawakuponywa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
19 Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
Սուրբ Գրություն
Այս Ծրագրի Մասին

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Հարակից ծրագրեր

Զրույց «Քո հրաշքն՝ ամեն օր»-ի ընթերցողի հետ

Աստծու սիրո խորհրդանիշը

Տեր Աստծու շնորհը մեր մեծագույն օգնությունն է

Սուրբ ծննդյան նվերներ Էջմիածնի Էմմանուել եկեղեցուց

Քո անհուսության բժշկությունը

Աստծու բարությունը մեղրից էլ քաղցր է

Աղոթք Հայաստանի և հայ ժողովրդի համար

Դու նրանց հույսն ես․․․

Երբ անցնում ես ծանրագույն դժվարություններով
