INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANEExemple

KUJIGEUZA KWA YESU
28 Yapata siku nane baada ya Yesu kusema hayo, aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana akaenda nao mlimani kuomba.
Alipokuwa akiomba, mwonekano wa sura yake ukabadilika, mavazi yake yakametameta kama mwanga wa umeme wa radi.Ghafula wakawaona watu wawili, Mose na Eliya wakizungumza naye.Walionekana katika utukufu wakizungumza na Yesu kuhusu kifo chake ambacho kingetokea huko Yerusalemu.
32 Petro na wenzake waliokuwa wamelala usingizi mzito walipoamka,
wakaona utukufu wa Yesu na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye.
33 Mose na Eliya, walipokuwa wanaondoka, Petro akamwambia Yesu,
“Bwana, ni vizuri tukae hapa! Tutajenga vibanda vitatu, kimoja chako, kingine cha Mose na kingine cha Eliya.” Lakini Petro alikuwa hajui asemacho.
34 Alipokuwa bado anazungumza, pakatokea wingu likawafunika, nao wakaogopa walipoingia mle kwenye wingu.Sauti ikatoka kwenye lile wingu ikisema,
“Huyu ni Mwanangu mpendwa niliyemchagua, msikilizeni yeye.”
36 Baada ya sauti hiyo kusema, walimkuta Yesu akiwa peke yake.
Wale wanafunzi wakalihifadhi jambo hili, wala kwa wakati huo hawakumwambia mtu ye yote yale waliyokuwa wameyaona.
Écritures
À propos de ce plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Plans suggérés

Les portes démoniaques

Enveloppé : Une réflexion sur les promesses de Dieu au Psaume 91

Les 5 choses qui BRISENT le coeur du Saint-Esprit

Transcender: Une marche avec Moïse (Psaumes 90)

Journée mondiale de prière pour les universitaires: Guide de prière de 40 jours

Dieu veut vous parler !

ILLIMITÉ

Dieu Parle Aussi La Nuit

Quatre disciplines oubliées qui transforment votre vie spirituelle
