INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITAUkázka

BWANA WA MAVUNO
35 Yesu akazunguka katika miji yote na vijiji vyote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme na kuponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni mwa watu.Alipoona makutano aliwahurumia
kwa sababu walikuwa wanasumbuka bila msaada, kama kondoo wasio na mchungaji.
37 Ndipo akawaambia wanafunzi wake,
“Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache,
"38 Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watenda kazi katika shamba lake la mavuno.”
Písmo
O tomto plánu

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Podobné plány

Uvědomit si, že Bůh mě miluje

Zůstávejme v Ježíši: Přinášejme trvalé ovoce (Love God Greatly/Miluj Boha nesmírně)

Co je mým účelem? Nauč se milovat Boha a milovat druhé lidi

Sedmidenní vánoční rozjímání

Zkus se modlit

Porazit sebevědomí a úzkost

Milost ve vašem příběhu

Svoboda

Radujme se
