1
Mwanzo 42:21
Swahili Revised Union Version
SRUVDC
Wakaambiana, Kweli sisi tulimkosea ndugu yetu, kwa kuwa tuliona shida ya roho yake, alipotusihi, wala hatukusikia, kwa hiyo shida hii imetupata.
Porovnat
Zkoumat Mwanzo 42:21
2
Mwanzo 42:6
Naye Yusufu alikuwa ni mkuu juu ya nchi, ndiye aliyewauzia watu wote wa nchi. Nao ndugu zake Yusufu wakaja, wakainama kifudifudi mbele yake.
Zkoumat Mwanzo 42:6
3
Mwanzo 42:7
Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.
Zkoumat Mwanzo 42:7
Domů
Bible
Plány
Videa