1
Mwanzo 41:16
Swahili Revised Union Version
SRUVDC
Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani.
Porovnat
Zkoumat Mwanzo 41:16
2
Mwanzo 41:38
Farao akawaambia watumishi wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye Roho ya Mungu ndani yake?
Zkoumat Mwanzo 41:38
3
Mwanzo 41:39-40
Farao akamwambia Yusufu, Kwa kuwa Mungu amekufahamisha hayo yote, hapana mwenye akili na hekima kama wewe. Basi wewe utakuwa msimamizi wa nyumba yangu, na kwa neno lako watu wangu watatawaliwa. Katika kiti cha enzi tu nitakuwa mkuu kuliko wewe.
Zkoumat Mwanzo 41:39-40
4
Mwanzo 41:52
Na wa pili akamwita jina lake Efraimu, maana alisema, Mungu amenipa uzazi katika nchi ya mateso yangu.
Zkoumat Mwanzo 41:52
5
Mwanzo 41:51
Yusufu akamwita jina lake yule aliyezaliwa kwanza, Manase, maana alisema, Mungu amenisahaulisha taabu zangu zote, na nyumba yote ya baba yangu.
Zkoumat Mwanzo 41:51
Domů
Bible
Plány
Videa