1
Mwanzo 43:23
Swahili Revised Union Version
SRUVDC
Akawaambia, Amani iwe kwenu, msiogope; Mungu wenu, naye ni Mungu wa baba yenu, amewapa akiba katika magunia yenu; fedha zenu zilinifikia. Kisha akawatolea Simeoni kwao.
Porovnat
Zkoumat Mwanzo 43:23
2
Mwanzo 43:30
Yusufu akafanya haraka, kwa sababu moyo wake ulimwonea shauku nduguye, akatafuta pa kulilia, akaingia chumbani mwake, akalilia humo.
Zkoumat Mwanzo 43:30
Domů
Bible
Plány
Videa