1
Matendo 19:6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Kisha Paulo akawawekea mikono, na Roho Mtakatifu akaja juu yao. Wakaanza kuzungumza na kutabiri katika lugha tofauti.
Compara
Explorar Matendo 19:6
2
Matendo 19:11-12
Mungu alimtumia Paulo kufanya miujiza ya kipekee. Baadhi ya watu walichukua vitambaa vya mkononi na nguo zilizovaliwa na Paulo na kuziweka juu ya wagonjwa. Wagonjwa waliponywa na pepo wabaya waliwatoka watu.
Explorar Matendo 19:11-12
3
Matendo 19:15
Lakini wakati fulani pepo akawaambia Wayahudi hawa, “Ninamfahamu Yesu, na ninafahamu kuhusu Paulo, na ninyi ni nani?”
Explorar Matendo 19:15