Soma Biblia Kila Siku 11/2024预览

Soma Biblia Kila Siku 11/2024

30天中的第13天

Siku hizi tunasikia misukosuko mingi, na inatutishia usalama. Mwandishi wa zaburi hii anatukumbusha kuwa mambo hayo yalikuwepo tangu huko nyuma. Anaonyesha kuwa Mungu alianza kuwapigania watu wake tangu mwanzo kabisa wakiwa utumwani Misri. Aliwabariki wazee wetu, kwani walikuwa ni uzao wa Ibrahimu ambaye Mungu aliahidi kumbariki. Kwa hiyo tunapoona ulimwengu mzima ukiwa unatikiswa na vurugu nyingi, bado tuna imani kwamba huyo Mungu aliyewapigania wazee wetu, anaweza kutusaidia hata sisi.

读经计划介绍

Soma Biblia Kila Siku 11/2024

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu

More