Rafiki hupenda sikuzote; Na ndugu amezaliwa kwa siku ya taabu. Aliyepungukiwa na akili hupana mkono na mtu; Na kuwa mdhamini mbele ya mwenzake. Apendaye ugomvi hupenda dhambi; Auinuaye sana mlango wake hutafuta uharibifu.
Mit 17:17-19
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video