Akubaliye kurudiwa huwa katika njia ya uzima; Bali yeye aachaye maonyo hukosa. Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu. Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.
Mit 10:17-19
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video