Tafuta matokeo ya: romans 6:23
Rum 6:23 (SUV)
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Kut 6:23 (SUV)
Haruni akamwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, umbu lake Nashoni; naye akamzalia Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.
Law 6:23 (SUV)
Tena kila sadaka ya unga ya kuhani itateketezwa kabisa; isiliwe.
Hes 6:23 (SUV)
Nena na Haruni na wanawe, uwaambie, Hivi ndivyo mtakavyowabarikia wana wa Israeli; mtawaambia;
Kum 6:23 (SUV)
akatutoa huko ili kututia huku, apate kutupa nchi aliyowaapia baba zetu.
Yos 6:23 (SUV)
Basi wale vijana wapelelezi wakaingia, wakamtoa Rahabu, na baba yake, na mama yake, na ndugu zake, na vitu vyote walivyokuwa navyo, wakawatoa na jamaa zake wote pia; wakawaweka nje ya matuo ya Israeli.
Amu 6:23 (SUV)
BWANA akamwambia Amani iwe pamoja nawe; usiogope; hutakufa.
Dan 6:23 (SUV)
Basi mfalme akafurahi sana, akaamuru wamtoe Danieli katika lile tundu. Ndipo Danieli akatolewa katika lile tundu, wala dhara lo lote halikuonekana mwilini mwake, kwa sababu alikuwa anamtumaini Mungu wake.
Mt 6:23 (SUV)
Lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Basi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza; si giza hilo!
Mk 6:23 (SUV)
Akamwapia, Lo lote utakaloniomba nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu.
Lk 6:23 (SUV)
Furahiwani siku ile na kuruka-ruka, kwa kuwa, tazama, thawabu yenu ni kubwa mbinguni, maana, baba zao waliwatenda manabii vivyo hivyo.
Yn 6:23 (SUV)
(Walakini zikaja mashua nyingine kutoka Tiberia mpaka karibu na mahali pale walipokula mikate, wakati Bwana aliposhukuru.)
Mit 6:23 (SUV)
Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima.
Ayu 6:23 (SUV)
Au, Niokoeni na mkono wa adui? Au, Nikomboeni na mikono ya hao waoneao?
Yer 6:23 (SUV)
Washika upinde na mkuki; ni wakatili, hawana huruma; sauti yao huvuma kama bahari, nao wamepanda farasi zao; kila mmoja kama mtu wa vita amejipanga juu yako, Ee binti Sayuni.
Efe 6:23 (SUV)
Amani na iwe kwa ndugu, na pendo, pamoja na imani, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu Kristo.
2 Sam 6:23 (SUV)
Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.
1 Fal 6:23 (SUV)
Akafanya ndani ya chumba cha ndani makerubi mawili ya mzeituni, kwenda juu mikono kumi.
2 Fal 6:23 (SUV)
Basi akawaandalia chakula tele; nao walipokwisha kula na kunywa, akawaacha, wakaenda zao kwa bwana wao. Na vikosi vya Shamu havikuja tena katika nchi ya Israeli.
1 Nya 6:23 (SUV)
na mwanawe huyo ni Elkana, na mwanawe huyo ni Ebiasafu, na mwanawe huyo ni Asiri;
2 Nya 6:23 (SUV)
basi, usikie mbinguni, ukatende, ukawahukumu watumwa wako; ukimlipiza mwovu, kumpatilizia njia yake kichwani; ukamfanyie haki mwenye haki, ukimjalia kwa kadiri ya haki yake.
Mwa 23:6 (SUV)
Utusikie, Ee bwana, ndiwe mtu mkuu sana kwetu, uzike maiti wako katika kaburi lile utakalochagua katika makaburi yetu. Hapana mtu kwetu atakayekuzuilia kaburi lake, usizike maiti wako.
Kut 23:6 (SUV)
Usipotoe hukumu ya mtu maskini katika neno lake.
Law 23:6 (SUV)
Na siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu kwa BWANA ya mkate usiotiwa chachu; mtaila mikate isiyochachwa muda wa siku saba.
Hes 23:6 (SUV)
Akarudi kwake, na tazama, amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, yeye na wakuu wote wa Moabu pamoja naye.