Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tafuta matokeo ya: romans 15:13

Yn 15:13 (SUV)

Hakuna aliye na upendo mwingi kuliko huu, wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.

Rum 15:13 (SUV)

Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.

Mit 15:13 (SUV)

Moyo wa furaha huchangamsha uso; Bali kwa huzuni ya moyo roho hupondeka.

Yer 15:13 (SUV)

Mali yako na hazina zako nitazitoa kuwa nyara, bila kulipwa thamani yake; naam, kwa sababu ya dhambi zako zote, hata katika mipaka yako yote.

Mk 15:13 (SUV)

Wakapiga kelele tena, Msulibishe.

Mt 15:13 (SUV)

Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang’olewa.

Mdo 15:13 (SUV)

Na hao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akisema, Ndugu zangu, nisikilizeni.

Mwa 15:13 (SUV)

BWANA akamwambia Abramu, Ujue hakika ya kwamba uzao wako utakuwa mgeni katika nchi isiyo yake, watawatumikia watu wale, nao watateswa muda wa miaka mia nne.

Kut 15:13 (SUV)

Wewe kwa rehema zako umewaongoza watu uliowakomboa, Kwa uweza wako uliwaelekeza hata makao yako matakatifu.

Law 15:13 (SUV)

Na huyo aliye na kisonono atakapotakaswa na kisonono chake, atajihesabia siku saba kwa kutakaswa kwake, naye atazifua nguo zake; naye ataoga mwili wake katika maji ya mtoni, naye atakuwa safi.

Hes 15:13 (SUV)

Wote ambao wamezaliwa kwenu watafanya hayo yote kwa kuandama mfano huo, katika kusongeza sadaka kwa moto, ya harufu ya kupendeza kwa BWANA.

Kum 15:13 (SUV)

Nawe utakapomwacha huru aondoke kwako, usimwache aende zake mikono mitupu;

Yos 15:13 (SUV)

Kisha alimpa huyo Kalebu mwana wa Yefune sehemu kati ya wana wa Yuda, kama BWANA alivyomwamuru Yoshua, maana ni Kiriath-arba, ni huyo Arba aliyekuwa babaye Anaki (huo ndio Hebroni).

Amu 15:13 (SUV)

Wakamwambia, wakisema, Vema, lakini tutakufunga sana, na kukutia katika mikono yao; lakini hakika hatutakuua. Basi wakamfunga kwa kamba mbili mpya, wakamchukua kutoka huko jabalini.

Ayu 15:13 (SUV)

Hata ukageuza roho yako iwe kinyume cha Mungu, Na kuyatoa maneno kama hayo kinywani mwako.

Lk 15:13 (SUV)

Hata baada ya siku si nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati.

1 Kor 15:13 (SUV)

Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo naye hakufufuka;

1 Sam 15:13 (SUV)

Samweli akamwendea Sauli; naye Sauli akamwambia, Ubarikiwe na BWANA, nimeitimiza amri ya BWANA.

2 Sam 15:13 (SUV)

Mjumbe akamfikilia Daudi, akasema, Mioyo ya watu wa Israeli inashikamana na Absalomu.

1 Fal 15:13 (SUV)

Hata na Maaka, mamaye, akamwondolea daraja yake asiwe malkia, kwa kuwa amefanya sanamu ya kuchukiza kwa Ashera; basi Asa akaikata sanamu yake akaiteketeza penye kijito cha Kidroni.

2 Fal 15:13 (SUV)

Huyo Shalumu mwana wa Yabeshi alianza kutawala katika mwaka wa thelathini na kenda wa Uzia mfalme wa Yuda; akatawala muda wa mwezi mmoja katika Samaria.

1 Nya 15:13 (SUV)

Kwani kwa sababu ninyi hamkulichukua safari ya kwanza, BWANA, Mungu wetu, alitufurikia, kwa maana hatukumtafuta sawasawa na sheria.

2 Nya 15:13 (SUV)

na ya kwamba ye yote asiyemtafuta BWANA, Mungu wa Israeli, atauawa, akiwa mdogo au mkubwa, kwamba ni mwanamume au mwanamke.

Mit 13:15 (SUV)

Ufahamu mwema huleta upendeleo; Bali njia ya haini huparuza.

Isa 13:15 (SUV)

Kila mtu atakayeonekana atatumbuliwa, na kila mtu atakayepatikana ataanguka kwa upanga.