Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tafuta matokeo ya: psalm 32:8

Mwa 32:8 (SUV)

Akasema, Akija Esau kwa kundi la kwanza, akalipiga, kundi litakalosalia litaokoka.

Kut 32:8 (SUV)

wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.

Hes 32:8 (SUV)

Ndivyo walivyofanya baba zenu, hapo nilipowatuma kutoka Kadesh-barnea ili waende kuiangalia hiyo nchi.

Kum 32:8 (SUV)

Yeye Aliye Juu alipowapa mataifa urithi wao, Alipowabagua wanadamu, Aliweka mipaka ya watu Kwa kadiri ya hesabu ya wana wa Israeli.

Yer 32:8 (SUV)

Basi Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akanijia ndani ya uwanda wa walinzi, sawasawa na lile neno la BWANA, akaniambia, Tafadhali, ulinunue shamba langu lililoko Anathothi, katika nchi ya Benyamini; maana haki ya urithi ni yako, na haki ya ukombozi ni yako; ujinunulie. Ndipo nikajua kama neno hili ni neno la BWANA.

Eze 32:8 (SUV)

Mianga yote ya mbinguni iangazayo nitaifanya kuwa giza juu yako, nami nitatia giza katika nchi yako, asema Bwana MUNGU.

Ayu 32:8 (SUV)

Lakini imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi za Mwenyezi huwapa akili.

Zab 32:8 (SUV)

Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.

Isa 32:8 (SUV)

Bali mwungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.

2 Nya 32:8 (SUV)

kwake upo mkono wa mwili; ila kwetu yupo BWANA, Mungu wetu, kutusaidia, na kutupigania mapigano yetu. Na watu wakayategemea maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.

Kut 8:32 (SUV)

Farao akaufanya moyo wake kuwa mzito mara hiyo nayo, wala hakuwapa ruhusa hao watu waende zao.

Law 8:32 (SUV)

Nacho kitakachosalia katika hiyo nyama na mikate mtakichoma moto.

Yos 8:32 (SUV)

Akaandika huko juu ya mawe hayo nakala ya torati ya Musa, aliyoiandika mbele ya wana wa Israeli.

Amu 8:32 (SUV)

Basi Gideoni mwana wa Yoashi akafa mwenye umri wa uzee mwema, akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake, katika Ofra ya Waabiezeri.

Ezr 8:32 (SUV)

Tukafika Yerusalemu, tukakaa huko muda wa siku tatu.

Yn 8:32 (SUV)

tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.

Mdo 8:32 (SUV)

Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni hili, Aliongozwa kwenda machinjoni kama kondoo, Na kama vile mwana-kondoo alivyo kimya mbele yake amkataye manyoya, Vivyo hivyo yeye naye hafunui kinywa chake.

Rum 8:32 (SUV)

Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye?

Mit 8:32 (SUV)

Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.

Mt 8:32 (SUV)

Akawaambia, Nendeni. Wakatoka, wakaingia katika nguruwe; na kumbe! Kundi lote wakatelemka kwa kasi gengeni hata baharini, wakafa majini.

Mk 8:32 (SUV)

Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.

Lk 8:32 (SUV)

Basi, hapo palikuwa na kundi la nguruwe wengi wakilisha mlimani; wakamsihi awape ruhusa kuwaingia wale. Akawapa ruhusa.

1 Fal 8:32 (SUV)

basi, usikie huko mbinguni, ukatende, ukawahukumu watumwa wako; ukimpatiliza mtu mbaya, kwa kuleta njia yake juu ya kichwa chake; na kumpa mwenye haki haki yake, ukimjalia kwa kadiri ya haki yake.

1 Nya 8:32 (SUV)

Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.

Zab 132:8 (SUV)

Ee BWANA, uinuke, uende kwenye raha yako, Wewe na sanduku la nguvu zako.