Tafuta matokeo ya: ephesians 3:20
Efe 3:20 (SUV)
Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu;
Gal 3:20 (SUV)
Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja.
Kol 3:20 (SUV)
Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana.
Ufu 3:20 (SUV)
Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.
Mwa 3:20 (SUV)
Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.
Kut 3:20 (SUV)
Nami nitaunyosha mkono wangu, na kuipiga Misri kwa ajabu zangu zote, nitakazofanya kati yake, kisha baadaye atawapa ruhusa kwenda.
Hes 3:20 (SUV)
Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.
Kum 3:20 (SUV)
hata BWANA awapumzishe ndugu zenu kama ninyi, nao pia waimiliki nchi wapewayo na BWANA, Mungu wenu, ng’ambo ya Yordani; ndipo mtakaporudi kila mmoja aende katika milki yake niliyowapa.
Amu 3:20 (SUV)
Basi Ehudi akamwendea; naye alikuwa anaketi peke yake katika chumba chake cha baridi. Ehudi akasema, Mimi nina ujumbe utokao kwa Mungu kwako wewe. Basi akainuka katika kiti chake.
Neh 3:20 (SUV)
Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akafanyiza kwa bidii sehemu nyingine, toka ugeukapo ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
Ayu 3:20 (SUV)
Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga, Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;
Mdo 3:20 (SUV)
apate kumtuma Kristo Yesu mliyewekewa tangu zamani;
Flp 3:20 (SUV)
Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo;
Isa 3:20 (SUV)
na dusumali, na mafurungu, na vitambi, na vibweta vya marashi, na matalasimu;
Omb 3:20 (SUV)
Nafsi yangu ikali ikiyakumbuka hayo, Nayo imeinama ndani yangu.
Eze 3:20 (SUV)
Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
Yoe 3:20 (SUV)
Bali Yuda atadumu milele, na Yerusalemu tangu kizazi hata kizazi.
Sef 3:20 (SUV)
Wakati huo nitawaingizeni, na wakati huo nitawakusanya; kwa maana nitawafanya ninyi kuwa sifa na jina, miongoni mwa watu wote wa dunia, nitakapowarudisha wafungwa wenu mbele ya macho yenu, asema BWANA.
Mk 3:20 (SUV)
Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.
Dan 3:20 (SUV)
Kisha akawaamuru baadhi ya watu mashujaa wa jeshi lake kuwafunga Shadraka, na Meshaki, na Abednego, na kuwatupa katika ile tanuru iliyokuwa ikiwaka moto.
Lk 3:20 (SUV)
aliongeza na hili juu ya yote, alimfunga Yohana gerezani.
Yn 3:20 (SUV)
Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.
Rum 3:20 (SUV)
kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.
Mit 3:20 (SUV)
Kwa maarifa yake vilindi viligawanyika; Na mawingu yadondoza umande.
Mhu 3:20 (SUV)
Wote huendea mahali pamoja; wote hutoka katika mavumbi; na hata mavumbini hurudi tena.