Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tafuta matokeo ya: ephesians 3:20

Efe 3:20 (SUV)

Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu;

Gal 3:20 (SUV)

Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja.

Kol 3:20 (SUV)

Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana.

Ufu 3:20 (SUV)

Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.

Mwa 3:20 (SUV)

Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.

Kut 3:20 (SUV)

Nami nitaunyosha mkono wangu, na kuipiga Misri kwa ajabu zangu zote, nitakazofanya kati yake, kisha baadaye atawapa ruhusa kwenda.

Hes 3:20 (SUV)

Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.

Kum 3:20 (SUV)

hata BWANA awapumzishe ndugu zenu kama ninyi, nao pia waimiliki nchi wapewayo na BWANA, Mungu wenu, ng’ambo ya Yordani; ndipo mtakaporudi kila mmoja aende katika milki yake niliyowapa.

Amu 3:20 (SUV)

Basi Ehudi akamwendea; naye alikuwa anaketi peke yake katika chumba chake cha baridi. Ehudi akasema, Mimi nina ujumbe utokao kwa Mungu kwako wewe. Basi akainuka katika kiti chake.

Neh 3:20 (SUV)

Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akafanyiza kwa bidii sehemu nyingine, toka ugeukapo ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.

Ayu 3:20 (SUV)

Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga, Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;

Mdo 3:20 (SUV)

apate kumtuma Kristo Yesu mliyewekewa tangu zamani;

Flp 3:20 (SUV)

Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo;

Isa 3:20 (SUV)

na dusumali, na mafurungu, na vitambi, na vibweta vya marashi, na matalasimu;

Omb 3:20 (SUV)

Nafsi yangu ikali ikiyakumbuka hayo, Nayo imeinama ndani yangu.

Eze 3:20 (SUV)

Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

Yoe 3:20 (SUV)

Bali Yuda atadumu milele, na Yerusalemu tangu kizazi hata kizazi.

Sef 3:20 (SUV)

Wakati huo nitawaingizeni, na wakati huo nitawakusanya; kwa maana nitawafanya ninyi kuwa sifa na jina, miongoni mwa watu wote wa dunia, nitakapowarudisha wafungwa wenu mbele ya macho yenu, asema BWANA.

Mk 3:20 (SUV)

Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.

Dan 3:20 (SUV)

Kisha akawaamuru baadhi ya watu mashujaa wa jeshi lake kuwafunga Shadraka, na Meshaki, na Abednego, na kuwatupa katika ile tanuru iliyokuwa ikiwaka moto.

Lk 3:20 (SUV)

aliongeza na hili juu ya yote, alimfunga Yohana gerezani.

Yn 3:20 (SUV)

Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.

Rum 3:20 (SUV)

kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.

Mit 3:20 (SUV)

Kwa maarifa yake vilindi viligawanyika; Na mawingu yadondoza umande.

Mhu 3:20 (SUV)

Wote huendea mahali pamoja; wote hutoka katika mavumbi; na hata mavumbini hurudi tena.