Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tafuta matokeo ya: Romans 3:23

Kol 3:23 (SUV)

Lo lote mfanyalo, lifanyeni kwa moyo, kama kwa Bwana, wala si kwa wanadamu,

Rum 3:23 (SUV)

kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;

Gal 3:23 (SUV)

Lakini kabla ya kuja ile imani tulikuwa tumewekwa chini ya sheria, tumefungwa mpaka ije ile imani itakayofunuliwa.

Mwa 3:23 (SUV)

kwa hiyo BWANA Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.

Hes 3:23 (SUV)

Jamaa za Wagershoni watapanga rago nyuma ya maskani, upande wa magharibi.

Kum 3:23 (SUV)

Nikamnyenyekea BWANA wakati huo, nikamwambia,

Amu 3:23 (SUV)

Ndipo Ehudi akatoka nje barazani, akamfungia milango ya hicho chumba na kuifunga kwa ufunguo.

Neh 3:23 (SUV)

Baada yao wakafanyiza Benyamini na Hashubu, kuielekea nyumba yao. Baada yao akafanyiza Azaria, mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, kando ya nyumba yake.

Ayu 3:23 (SUV)

Kwa nini mtu aliyezibiwa njia kupewa mwanga, Ambaye Mungu amemzingira kwa ukingo?

Mdo 3:23 (SUV)

Na itakuwa ya kwamba kila mtu asiyemsikiliza nabii huyo ataangamizwa na kutengwa na watu wake.

Isa 3:23 (SUV)

na vioo vidogo, na kitani nzuri, na vilemba, na utaji.

Omb 3:23 (SUV)

Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu.

Eze 3:23 (SUV)

Basi, nikaondoka, nikaenda uwandani, na tazama, utukufu wa BWANA ulisimama huko, kama utukufu ule niliouona karibu na mto Kebari; nami nikaanguka kifudifudi.

Mk 3:23 (SUV)

Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?

Dan 3:23 (SUV)

Na watu hao watatu, Shadraka, na Meshaki, na Abednego, wakaanguka, hali wamefungwa, katikati ya ile tanuru iliyokuwa inawaka moto.

Lk 3:23 (SUV)

Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli,

Yn 3:23 (SUV)

Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu huko kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea, wakabatizwa.

Mit 3:23 (SUV)

Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa.

Yer 3:23 (SUV)

Ni kweli, msaada haufai unaotazamiwa kutoka milimani, makutano yenye mshindo juu ya milima; ni kweli, wokovu wa Israeli ni katika BWANA, Mungu wetu.

2 Sam 3:23 (SUV)

Hata Yoabu, na jeshi lote waliokuwa pamoja naye, walipofika, watu wakamwambia Yoabu, wakisema, Abneri, mwana wa Neri, alikuja kwa mfalme, naye amemruhusu, naye amekwenda zake kwa amani.

1 Fal 3:23 (SUV)

Ndipo mfalme akasema, Huyu anasema, Mtoto wangu yu hai, na mtoto wako amekufa. Na huyu anasema, Sivyo hivyo; bali mtoto aliyekufa ni wako, na mtoto aliye hai ni wangu.

2 Fal 3:23 (SUV)

Wakasema, Ndiyo damu hii; bila shaka hao wafalme wameharibika, wamepigana kila mtu na mwenziwe; basi sasa, enyi Wamoabi, nyara hizo!

1 Nya 3:23 (SUV)

Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu.

1 Yoh 3:23 (SUV)

Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri.

1 Kor 3:23 (SUV)

nanyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.