Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tafuta matokeo ya: Hebrews 11:30

Mt 11:30 (SUV)

kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.

Dan 11:30 (SUV)

Maana merikebu za Kitimu zitakuja kupigana naye; basi atavunjika moyo, naye atarudi na kulighadhibikia hilo agano takatifu; na kutenda kadiri apendavyo; naam, atarudi, na kuwasikiliza walioacha hilo agano takatifu.

Mk 11:30 (SUV)

Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.

Lk 11:30 (SUV)

Maana, kama vile Yona alivyokuwa ishara kwa Waninawi, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu kwa kizazi hiki.

Yn 11:30 (SUV)

Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji; lakini alikuwa akalipo pale pale alipomlaki Martha.

Rum 11:30 (SUV)

Kwa maana kama ninyi zamani mlivyomwasi Mungu, lakini sasa mmepata rehema kwa kuasi kwao;

Mit 11:30 (SUV)

Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.

Mdo 11:30 (SUV)

Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.

Ebr 11:30 (SUV)

Kwa imani kuta za Yeriko zikaanguka, zilipokwisha kuzungukwa siku saba.

Mwa 11:30 (SUV)

Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.

Law 11:30 (SUV)

na guruguru na kenge, na mjusi na goromoe, na lumbwi.

Hes 11:30 (SUV)

Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.

Kum 11:30 (SUV)

Je! Haiwi ng’ambo ya Yordani? Nyuma ya njia ya machweo ya jua, katika nchi ya Wakanaani waketio katika Araba kuelekea Gilgali, kando ya hiyo mialoni ya More?

Amu 11:30 (SUV)

Naye Yeftha akamwekea BWANA nadhiri, akasema, Kwamba wewe utawatia wana wa Amoni mkononi mwangu kweli,

Neh 11:30 (SUV)

Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.

1 Kor 11:30 (SUV)

Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala.

2 Kor 11:30 (SUV)

Ikinibidi kujisifu, nitajisifia mambo ya udhaifu wangu.

1 Fal 11:30 (SUV)

Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.

1 Nya 11:30 (SUV)

Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;

Mit 30:11 (SUV)

Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.

Isa 30:11 (SUV)

tokeni katika njia, geukeni mtoke katika mapito; mkomesheni Mtakatifu wa Israeli mbele yetu.

Yer 30:11 (SUV)

Maana mimi ni pamoja nawe, asema BWANA, nikuokoe; maana nitawakomesha kabisa mataifa yote huko nilikokutawanya, bali sitakukomesha wewe kabisa; lakini nitakurudi kwa hukumu, wala sitakuacha bila adhabu.

Eze 30:11 (SUV)

Yeye, na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa watishao, wataletwa waingie katika nchi waiharibu, nao watafuta panga zao wapigane na Misri, na kuijaza nchi wale waliouawa.

Mwa 30:11 (SUV)

Lea akasema, Bahati njema! Akamwita jina lake Gadi.

Kut 30:11 (SUV)

BWANA akanena na Musa, na kumwambia,