Tafuta matokeo ya: Hebrews 11:30
Mt 11:30 (SUV)
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Dan 11:30 (SUV)
Maana merikebu za Kitimu zitakuja kupigana naye; basi atavunjika moyo, naye atarudi na kulighadhibikia hilo agano takatifu; na kutenda kadiri apendavyo; naam, atarudi, na kuwasikiliza walioacha hilo agano takatifu.
Mk 11:30 (SUV)
Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.
Lk 11:30 (SUV)
Maana, kama vile Yona alivyokuwa ishara kwa Waninawi, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu kwa kizazi hiki.
Yn 11:30 (SUV)
Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji; lakini alikuwa akalipo pale pale alipomlaki Martha.
Rum 11:30 (SUV)
Kwa maana kama ninyi zamani mlivyomwasi Mungu, lakini sasa mmepata rehema kwa kuasi kwao;
Mit 11:30 (SUV)
Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.
Mdo 11:30 (SUV)
Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Ebr 11:30 (SUV)
Kwa imani kuta za Yeriko zikaanguka, zilipokwisha kuzungukwa siku saba.
Mwa 11:30 (SUV)
Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.
Law 11:30 (SUV)
na guruguru na kenge, na mjusi na goromoe, na lumbwi.
Hes 11:30 (SUV)
Kisha Musa akaenda akaingia kambini, yeye na wale wazee wa Israeli.
Kum 11:30 (SUV)
Je! Haiwi ng’ambo ya Yordani? Nyuma ya njia ya machweo ya jua, katika nchi ya Wakanaani waketio katika Araba kuelekea Gilgali, kando ya hiyo mialoni ya More?
Amu 11:30 (SUV)
Naye Yeftha akamwekea BWANA nadhiri, akasema, Kwamba wewe utawatia wana wa Amoni mkononi mwangu kweli,
Neh 11:30 (SUV)
Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
1 Kor 11:30 (SUV)
Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala.
2 Kor 11:30 (SUV)
Ikinibidi kujisifu, nitajisifia mambo ya udhaifu wangu.
1 Fal 11:30 (SUV)
Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.
1 Nya 11:30 (SUV)
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;
Mit 30:11 (SUV)
Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.
Isa 30:11 (SUV)
tokeni katika njia, geukeni mtoke katika mapito; mkomesheni Mtakatifu wa Israeli mbele yetu.
Yer 30:11 (SUV)
Maana mimi ni pamoja nawe, asema BWANA, nikuokoe; maana nitawakomesha kabisa mataifa yote huko nilikokutawanya, bali sitakukomesha wewe kabisa; lakini nitakurudi kwa hukumu, wala sitakuacha bila adhabu.
Eze 30:11 (SUV)
Yeye, na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa watishao, wataletwa waingie katika nchi waiharibu, nao watafuta panga zao wapigane na Misri, na kuijaza nchi wale waliouawa.
Mwa 30:11 (SUV)
Lea akasema, Bahati njema! Akamwita jina lake Gadi.
Kut 30:11 (SUV)
BWANA akanena na Musa, na kumwambia,