Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tafuta matokeo ya: Mathayo 6:33

Mt 10:33 (SUV)

Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.

Mt 15:33 (SUV)

Wanafunzi wake wakamwambia, Tupate wapi mikate mingi hapa nyikani, hata kushibisha mkutano mkuu namna hii?

Mt 18:33 (SUV)

nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?

Mt 20:33 (SUV)

Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.

Mt 21:33 (SUV)

Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu mwenye nyumba, naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungusha ugo, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.

Mt 22:33 (SUV)

Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.

Mt 23:33 (SUV)

Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?

Mt 24:33 (SUV)

nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.

Mt 25:33 (SUV)

atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.

Mt 26:33 (SUV)

Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.

Mwa 33:6 (SUV)

Ndipo wale vijakazi, na wana wao, wakakaribia wakainama.

Kut 33:6 (SUV)

Basi wana wa Israeli wakavua vyombo vyao vyote vya uzuri, tangu mlima wa Horebu na mbele.

Hes 33:6 (SUV)

Kisha wakasafiri kutoka Sukothi, wakapanga Ethamu, palipo katika mwisho wa nyika.

Kum 33:6 (SUV)

Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.

Ayu 33:6 (SUV)

Tazama, mimi ni mbele ya Mungu kama ulivyo wewe; Mimi nami nilifinyangwa katika udongo.

Zab 33:6 (SUV)

Kwa neno la BWANA mbingu zilifanyika, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.

Isa 33:6 (SUV)

Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.

Yer 33:6 (SUV)

Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.

Eze 33:6 (SUV)

Bali mlinzi akiona upanga unakuja, kama hapigi tarumbeta, wala watu hawakuonywa, na upanga ukaja ukamwondoa mtu awaye yote miongoni mwao; ameondolewa huyo katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwa mlinzi huyo.

2 Nya 33:6 (SUV)

Tena akawapitisha wanawe motoni katika bonde la mwana wa Hinomu; akatazama bao, akabashiri, akafanya uganga, akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, na wachawi; akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha.

Mt 13:6 (SUV)

na jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.

Mt 14:6 (SUV)

Hata ilipofika sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti Herodia alicheza mbele ya watu, akampendeza Herode.

Mt 15:6 (SUV)

basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.

Mt 1:6 (SUV)

Yese akamzaa mfalme Daudi. Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;

Mt 2:6 (SUV)

Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.