Tafuta matokeo ya: Mathayo 6:33
Mt 10:33 (SUV)
Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
Mt 15:33 (SUV)
Wanafunzi wake wakamwambia, Tupate wapi mikate mingi hapa nyikani, hata kushibisha mkutano mkuu namna hii?
Mt 18:33 (SUV)
nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?
Mt 20:33 (SUV)
Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.
Mt 21:33 (SUV)
Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu mwenye nyumba, naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungusha ugo, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.
Mt 22:33 (SUV)
Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.
Mt 23:33 (SUV)
Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
Mt 24:33 (SUV)
nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
Mt 25:33 (SUV)
atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.
Mt 26:33 (SUV)
Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.
Mwa 33:6 (SUV)
Ndipo wale vijakazi, na wana wao, wakakaribia wakainama.
Kut 33:6 (SUV)
Basi wana wa Israeli wakavua vyombo vyao vyote vya uzuri, tangu mlima wa Horebu na mbele.
Hes 33:6 (SUV)
Kisha wakasafiri kutoka Sukothi, wakapanga Ethamu, palipo katika mwisho wa nyika.
Kum 33:6 (SUV)
Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.
Ayu 33:6 (SUV)
Tazama, mimi ni mbele ya Mungu kama ulivyo wewe; Mimi nami nilifinyangwa katika udongo.
Zab 33:6 (SUV)
Kwa neno la BWANA mbingu zilifanyika, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.
Isa 33:6 (SUV)
Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.
Yer 33:6 (SUV)
Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.
Eze 33:6 (SUV)
Bali mlinzi akiona upanga unakuja, kama hapigi tarumbeta, wala watu hawakuonywa, na upanga ukaja ukamwondoa mtu awaye yote miongoni mwao; ameondolewa huyo katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwa mlinzi huyo.
2 Nya 33:6 (SUV)
Tena akawapitisha wanawe motoni katika bonde la mwana wa Hinomu; akatazama bao, akabashiri, akafanya uganga, akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, na wachawi; akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha.
Mt 13:6 (SUV)
na jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.
Mt 14:6 (SUV)
Hata ilipofika sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti Herodia alicheza mbele ya watu, akampendeza Herode.
Mt 15:6 (SUV)
basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
Mt 1:6 (SUV)
Yese akamzaa mfalme Daudi. Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;
Mt 2:6 (SUV)
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.