Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Utiifu

Utiifu

14 Siku

Yesu mwenyewe alisema ambaye yeyote anaye mupenda atatii mafundisho Yake. Haijalishi gharama yake kwa kila mutu, utiifu wetu ndio wa muhimu kwa Mungu. "Utiifu" Mpango wa usomaji inachukua jinsi maandiko yanavyo sema kuhusu utiifu: Namna gani kulinda musimamo ya uadilifu, jukumu ya rehema, namna gani utiifu hutufanya huru na hubariki maisha yetu, na kadhalika.

Usomaji huu umewekwa na YouVersion.com
Kuhusu Mchapishaji

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha