Tumaini
Tumaini
Kutokuwa na tumaini ni tauni inayokabili watu wengi wakati moja au mwingine. Hali hii haijahifadhiwa kwa wachache waliochaguliwa. Hata wengi wa mashujaa wetu wa Biblia wanaoheshimika, waliteseka kutokana na kutokuwa na tumaini katika miida fulani fulani. Tony Evans anashiriki mawazo yake jinsi ya kuwa na tumaini, na kushinda hali hiyo ya kukata tamaa katika mpango huu mfupi wa kusoma.
Anza Tena
Mwaka mpya. Siku Mpya. Mungu aliumba mabadiliko haya ili kutukumbusha kwamba Yeye ni Mungu wa Mwanzo Mpya. Ikiwa Mungu anaweza kusema ulimwengu uwepo, bila shaka anaweza kusema katika giza la maisha yako, akikutengenezea mwanzo mpya. Usipende tu mwanzo mpya! Kama mpango huu wa kusoma. Furahia!
Msihangaike
Katika kitabu cha Mathayo 6:24-34 Kristo anaeleza jinsi Injili inadhihirisha sababu hasa tunakumbwa na wasiwasi au mahangaiko, na la muhimu zaidi, Kristo anatuwezesha kuelewa jinsi Injili inavyotuokoa kutokana na uwepo wa wasiwasi au mahangaiko.
Kristo, Malkia Wetu Esta Halisi
Kitabu cha Esta ni hadithi ya kushangaza ya ujasiri na upendo ambayo inatuelekeza kwenye hadithi ya Yesu. Katika mpango huu wa siku tatu, Dk. Kwasi Amoafo anachunguza jinsi hadithi ya Agano la Kale ya Esta inavyofanana na injili na ni picha ya kushangaza ya ukombozi wetu wa kiroho kupitia Yesu, ambaye alijitambulisha pamoja nasi, aliingilia kati kwa ajili yetu, na kutuokoa tulipokuwa hatuna uwezo. ili kujiokoa.
Njia
Watu wengine hugundua ukweli mkubwa wa kiroho kwa bahati na wengine hutumia maisha yao yote wakitafuta. Labda ulikutana na mtu au kitu ambacho kilikuchochea kuvutiwa na kuchunguza masuala ya kiroho. Au labda umekuwa ukitafuta kwa muda mrefu kitu ambacho kinabadilisha maisha kwa kweli. Mpango huu wa usomaji ni mwaliko rahisi wa kuzingatia maisha ambayo Yesu anataka kukupa.
Tafakari Kuhusu Haki
Mfululizo wa tafakari ya kila siku kuhusu haki, ulioandikwa na wanawake kutoka kote katika dunia ya Jeshi la Wokovu. Maswala ya haki ya jamii yako mbele sana ya mawazo yetu siku hizi. Mkusanyo huu wa tafakari kuhusu haki ya jamii umeandikwa na wanawake kutoka kote duniani wenye nia na hamu ya kuwasaidia wengine katika jina la Kristo.
Kusikia kutoka Mbinguni: kusikiza Mungu kila siku.
Bwana yu hai na ni mkamilifu leo, na uongea na kila mtoto wake moja kwa moja. Lakini wakati mwingine, inaweza kuwa ngumu kumuona na kumsikia Mungu. Kupitia kuchunguza hadithi ya safari ya mtu mmoja ya kufahamu sauti ya Mungu katika mabanda ya Nairobi, utasoma vile ilivyo kumsikia na kumfuata Mungu.
Amani Ya Kristo
Tunaweza kutarajia siku mbaya. Siku hizo huja kwa wanaoishi katika dunia iliyoanguka na ubinadamu ulioanguka. Kwa kweli, amani ingekuwa bidhaa adimu ikiwa tungetegemea hali zetu kama chanzo pekee cha amani hiyo. Ila bado tuna chanzo bora zaidi cha amani ... na ujasiri. Kwa kweli, ndicho chanzo pekee cha kweli: Yesu.
Tumaini Linaloishi: Hesabu kuelekea Pasaka
Giza linapokuzunguka, ulikabili namna gani? Kwa siku 3 zijazo, zama katika hadithi ya Pasaka na ugundue jinsi ya kushikilia tumaini pale unapojisikia kuachwa, mpweke au usiye wa thamani.