Zekaria 2:11
Zekaria 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Mataifa mengi yatajiunga nami Mwenyezi-Mungu, nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Mambo hayo yatakapotukia ndipo mtakapojua kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi ndiye aliyenituma kwenu.
Shirikisha
Soma Zekaria 2Zekaria 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Mataifa mengi yatajiunga nami Mwenyezi-Mungu, nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Mambo hayo yatakapotukia ndipo mtakapojua kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi ndiye aliyenituma kwenu.
Shirikisha
Soma Zekaria 2Zekaria 2:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na mataifa mengi watajiunga na BWANA katika siku ile, nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yako, nawe utajua ya kuwa BWANA wa majeshi amenituma kwako.
Shirikisha
Soma Zekaria 2