Tito 1:10
Tito 1:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana kuna wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, wadanganyaji, na hasa wale wa tohara, ambao yapasa wazibwe vinywa vyao.
Shirikisha
Soma Tito 1Tito 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, wako watu wengi, hasa wale walioongoka kutoka dini ya Kiyahudi, ambao ni wakaidi, na wanawapotosha wengine kwa upumbavu wao.
Shirikisha
Soma Tito 1Tito 1:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana kuna wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, wadanganyaji, na hasa wale wa tohara, ambao yapasa wazibwe vinywa vyao.
Shirikisha
Soma Tito 1