Ruthu 2:3
Ruthu 2:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi Ruthu akaenda shambani, akawafuata wavunaji huku anayaokota masuke waliyoyaacha. Na kumbe akajikuta katika shamba la Boazi, yule wa ukoo wake Elimeleki.
Shirikisha
Soma Ruthu 2Ruthu 2:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi akaenda, akaja akaokota mabaki shambani nyuma ya wavunaji; na kwa bahati akafikia sehemu ya shamba la Boazi, ambaye alikuwa wa jamaa yake Elimeleki.
Shirikisha
Soma Ruthu 2