Waroma 8:24 - Compare All Versions
Waroma 8:24 BHN (Biblia Habari Njema)
Maana kwa matumaini hayo sisi tumekombolewa. Lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile tunachotumainia. Maana ni nani anayetumaini kile ambacho tayari anakiona?
Shirikisha
Waroma 8 BHNWaroma 8:24 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana tuliokolewa kwa tumaini; lakini kitu kilichotumainiwa kikionekana, hakiwi tumaini tena. Kwa maana ni nani anayekitumainia kile akionacho?
Shirikisha
Waroma 8 SRUVWaroma 8:24 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana tuliokolewa kwa taraja; lakini kitu kilichotarajiwa kikionekana, hakuna taraja tena. Kwa maana ni nani anayekitarajia kile akionacho?
Shirikisha
Waroma 8 SUVWaroma 8:24 NEN (Neno)
Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana, basi hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?
Shirikisha
Waroma 8 NEN