Waroma 8:2
Waroma 8:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, sheria ya Roho iletayo uhai kwa kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.
Shirikisha
Soma Waroma 8Waroma 8:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.
Shirikisha
Soma Waroma 8